KIJANA MZALENDO AMHURUMIA BITEKO "ANAUNDIWA ZENGWE ZITO MUDA SI MREFU UTALISIKIA/KANYOOKA SANA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 апр 2025
  • KIJANA MZALENDO AMHURUMIA BITEKO "ANAUNDIWA ZENGWE ZITO MUDA SI MREFU UTALISIKIA/KANYOOKA SANA"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WhatsApp MwanaHALISI TV (+255 692 318213)
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Комментарии • 24

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 20 дней назад +4

    Ni kweli kabisa MAlendo unayosema kweli tupu kumeingia mifisadi inamchukia Umeme uutoke nje wakati Bwawa la Mwalimu Nyerere limekwisha kazi kila kitu kiko sawa leo tunanunua umeme Mungu tusaidie mifisadi ya Awamu ya Sita bin ya nne inatusimbua mijizi kila kona

    • @maase2023
      @maase2023 14 дней назад

      @@margarethpolepole7438 hana uzalendo wowote amejaa fitina na majungu tu

  • @deusdedithjoseph7588
    @deusdedithjoseph7588 20 дней назад +1

    Nkindikwa uko vizuri sana, safi sana kijana mzalendo

  • @EricUbalijoro-x1l
    @EricUbalijoro-x1l 20 дней назад +8

    Dotto Biteko ni jembe ila anafanya kazi na watu wasiofaa ccm haifai kabisa ukweli usemwe watawala wapo kwa maslahi yao binafsi tunazidiwa na Rwanda ina maendeleo

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 20 дней назад +7

    Watanzania tunachezewa sana. Ujinga gani huu? Ni Nani katuroga? Wazi wazi na kwa ujanja ujanja Kikwete anatuchagulia Rais mitano tena.Tunapiga makofi. Tukinuna wanatuimbia SIMBA NA YANGA, AMA kweli Kikwete ngang wametufanya wajinga. Wamewanyang’anya madaraka wananchi, bila aibu nchi imekuwa yawo. Kwa sasa ni nani Rais? Kikwete ama Samia?

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 20 дней назад +2

    😢😢😢😢 ila kweli Salim A Salim alikua bonge la kiongoz

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 20 дней назад +2

    Doto ni Best

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 19 дней назад

    Mungu amlinde Dotto Biteko ana vita kali kila kona wanampiga vita kweli umeme kununuliwa nje wakati Bwawa letu limekamilika

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 19 дней назад +1

    Nakufatilia xan kaka unafaa kuitwa mzalendo kwel

  • @peterbangari4273
    @peterbangari4273 14 дней назад

    Doto biteko nakushauli usije ukapuzia maneno ya mzalendo nikweli Kuna kitu chochote kitakukuta. Na Mimi nakuongezea kuwa makini hasa Katia misafala yako , ukiumwa kuwa makini , chakula unachoandaliwa visemeo vya kuongelea na vingine vingi Asante tunakupenda

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 20 дней назад +3

    Sasa hivi Umeme umerudi kukatika katika hovyooo tena

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 17 дней назад

    Hapo umechemka hakuna kitu Kama hicho hiyo sio Sababu ya Biteko kuwa naibu waziri mkuu,majaliwa anatosha Sana kuwa waziri mkuu lkn umefungwa mikono unaambiwa pigana,lengo lake zone bwana

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 14 дней назад

    Utaona mengi watu wasiopenda ukweli utawaona tu nchi zetu Za África mijambazi serikalini wengi umeme ukikatika kuna watu wananufaika na wapo hawachukuliwi hatua ,nchi zingine wanavunjwa miguu Hakuna uhuni hata kidogo.

  • @ZeynabAlly-c2m
    @ZeynabAlly-c2m 20 дней назад +1

    Unavyozungumza.dotto biteko ni jembe ni kweli baada ya mama.samia Kumarina.muda.wake nampendelea.dotto biteko ndio atamuweza.belgiji kwa.maana dotto.biteko ni jembe

  • @patriciamuganda4498
    @patriciamuganda4498 13 дней назад

    Chai kunywa nyumbani kwako ndio uende Ofisini. Nawa mikono ujifute kwa leso yako mwenyewe sio taulo ya kuwekewa na muhudumu

  • @TzkwanzaKilimanjaro
    @TzkwanzaKilimanjaro 19 дней назад

    Hapo kwenye magufuli hakubagua, umebugi men
    Watu wa kaskazini na nyanda za juu kusini walitengwa kubaguliwa, kutwezwa , kuhujumiwa na nani?

  • @patriciamuganda4498
    @patriciamuganda4498 13 дней назад

    Na matubabu ya India au check up aziepuke kabisa

  • @LawrenceGingo
    @LawrenceGingo 19 дней назад +1

    Mim nasema mpina nsraa

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 19 дней назад

    Unasema Biteko ni mzalendo toka bei ya kuunganishiwa umeme kutoka elf 27 mpaka lak 3 hajawhi kuongea kitu chochote,sasa kuna kununua umeme kutoka Ethiopia sijaisikia kauli yake kama Wazirr wa Nishati yupo kimya

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 17 дней назад

    Makonda hilo ni jembe jingine linapalilia pa kavu na miba

  • @molazabron4252
    @molazabron4252 18 дней назад

    Huyu anachokiongea hakijui mwelewa hapo ni Mwandishi tu muongeaji ni Dishi kambisa

  • @YusuphMchomvu
    @YusuphMchomvu 19 дней назад

    Majitu mengine ni Majinga sana